๐บJINSI YA KUWA NA USO WA KITOTO (BABY FACE)๐ถ๐ผ๐๐ผ๐บ
๐Njia hii hung'arisha USO wako kila siku utakapotumia na uso wako utakuwa wa kitoto zaidi kadri unavyotumia. Pia husaidia kuondoa MADOA, CHUNUSI, MIKUNJO na MAKUNYANZI usoni.
๐บMAHITAJI
๐Unga wa mchele vijiko viwili( 2 )
๐Juice ya nyanya vijiko viwili ( 2 )
๐Limao vijiko viwili ( 2 ) {kama hauna chunusi usiweke}
๐Asali kijiko kimoja ( 1 )
๐Vitamin E vidonge viwili ( 2 )
๐บJINSI YA KUTUMIA
Chukua mahitaji yako yote changanya pamoja kisha koroga vizuri upate mchanganyiko uliochanganyika vizuri.
Then paka kwenye uso safi taratibu kwa kumassage kwa dk 2 kisha kaa nayo lisaa 1 nawa usoni.
Inafaa kwa ngozi aina zote na unaweza ukatengeneza mwingi ukapaka kila siku na kuweka kwenye friji ukatumia kama siku 5 au wiki hv then tengeneza upya.
❌KAMA UNATUMIA CREAM USIJISUMBUE KUTUMIA HII NJIA LABDA UACHANE NAZO NDO UTUMIE HII.
๐NA MNAOTUMIA TUBE ACHENI MAANA HICHO KITU HATA DAKTARI AKIKUPA ANAKUAMBIA KABISA TUMIA ILA UKIPONA ACHA BUT NASHANGAA WATU NDO WANAFANYA MAFUTA YAO NAKUTUMIA MIAKA NA MIAKA BILA KUJUA KITAKACHOWATOKEA BAADAE.
0 Comments