Kwa kutumia mbegu za UWATU unaweza kuamsha misuli ya sehemu yoyote ya mwili unayohitaji iwe MAKALIO, hips au matiti
🌺MAHITAJI
👉Unga wa uwatu
👉Maji
Changanya unga wa uwatu na maji kiasi kinachokutosha siku hiyo na mchanyanyiko usiwe mwepesi sana wala mzito sana then pakaa kwenye sehemu unataka misuli iamshwe iIi pakue kama ni hips, matiti, miguu au makalio na uchue hiyo sehemu Kwa dk 10 then kaa saa 1 au 2 unawe.
Fanya hivi kwa siku ukiweza mara mbili mpaka utakaporidhika na matokeo🌚
Unapoongeza shepu usisahau KUKUZA na NYWELE
Nywele ndefu zinaleta mvuto mkubwa sana Kwa mwanamke
Bonyeza HAPA CHINI kutazama 👇👇
Pia waweza tazama
0 Comments