Advertisement

MILIKI2

NJIA ZA KUONDOA MAGAGA KWA URAHISI KABISA

 Magaga hutokana na ukavu wa ngozi, japo hayaumi na hayana madhara makubwa lakini ukiwa na magaga unapata tabu sana kuvaa viatu vya wazi kwa sababu ya aibu, hizi ni njia tatu za kuweza kuondoa magaga


SCRUB

kabla ya kwenda kulala scrub miguu yako kwa kufanya hivi

  • chemsha maji yawe ya uvugu vugu
  • mimina kwenye beseni
  • weka sabuni katika maji yako
  • na tumbukiza miguu kisha uanze kusugua kama na jiwe au brush
  • ukimaliza kausha miguu na kitambaa kikavu na upake mafuta kisha vaa socks ulale nazo usiku mzima
  • fanya hivi kila siku mpaka magaga yatakapo isha

MAJI YA LIMAO

  • kata limao vipande viwili
  • chukua kimoja na uanze ku sugua katika magaga yako hakikisha maji ya limao yana ingia au kupita katika magaga yako
  • fanya hivi kwa muda usio pungua dakika tano
  • kisha sugua magaga yako kwa brush/jiwe
  • na uoshe miguu yako

OLIVE OIL

  • paka mafuta ya olive katika pamba
  • anza kusugua katika magaga yako kwa mfumo wa duara kwa dk15-20
  • vaa socks na iache kwa lisaa limoja



Pia waweza tazama mitindo tofauti tofauti ya kubana nywele
BONYEZA HAPA CHINI 👇👇👇









Post a Comment

0 Comments