NYANYA .
Ni tunda na kiungo muhimu katika mboga na mapishi kwa ujumla.
Lakini Leo napenda kuwapa faida za nyanya katika Urembo.
(1)-huondoa cells zilizokufa ktk ngozi.
(2)-huondoa vitundu ktk ngozi ambavyo huonesha muonekano mbaya usoni.
(3)-huondoa harara(chunusi)usoni.
(4)-husaidia ngozi kutozeeka mapema na kufanya ngozi ing'ae na kuvutia.
Jinsi ya kutengeneza .
Kata nyanya mara mbili (katikati),chovya ktk sukari na kusugua taratibu usoni, sugua kwa mzunguko kwa DAKIKA TANO, acha ikae kwa dakika Kumi kisha nawa kwa maji masafi.
0 Comments