Chukua maji ya vuguvugu kiasi cha nusu lita, halafu ndani yake tia asali vijiko vikubwa viwili na ndimu mbili... kisha loweka mikono yako humo kwa dakika tano hadi kumi.
Fanya hivyo mara moja kila siku kwa muda wa siku thelathini na utapata matokeo mazuri sana👍
Pia waweza tazama mitindo ya kuwasuka watoto 👇👇👇
0 Comments